28/06/2025 0 Comment 115 Views WAZIRI PROF. MKENDA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA ROMBO by 4dmin WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli DKT. SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA CCM RAIS SAMIA AWAPA STAMICO LESENI KUBWA YA UCHIMBAJI MADINI YA NIKELI KATIKA ENEO LA NTAKA NACHINGWEA-LINDI WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli SHARE Matukio Habari