Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), jaji Jacobs Mwambegele akizungumza na wawakilishi wa watu wenye ulemavu kutoka asasi mbalimbali nchini katika mkutano wa kutoa elimu na kupokea hoja za kundi hilo kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025 Jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji (Rufani), Mhe. Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, leo Julai 31,2025
Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu wakiwa katika Mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na wawakilishi hao, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam leo Julai 31, 2025.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji (Rufani), Jacobs Mwambegele (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima, wakati wa Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), jaji Jacobs Mwambegele (mwenye suti nyeusi waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawakilishi wa watu wenye ulemavu kutoka asasi mbalimbali nchini katika mkutano wa kutoa elimu na kupokea hoja za kundi hilo kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, kulia kwake ni Mkurugenzi wa Tume, Ramadhani Kailima na kushoto kwake ni Kamishna wa Tume, Zakia Abubakary.