kwa mujibu wa ratiba iliyotangazwa na Tume,Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.
“Kura Yako Haki Yako Jitokeze Kupiga Kura”
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza na wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mafinga Mjini ambapo aliwasisitiza kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza na wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mafinga Mjini ambapo aliwasisitiza kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.
Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Bi. Nuru Sovella akisikiliza kwa umakini
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akiangalia sehemu ya vifaa vya uchagzi ambavyo vimeshapokelewa.