22/09/2025 0 Comment 3 Views JENGO LAWAKA MOTO KARIAKOO by 4dmin Jengo refu linawaka moto katika Mtaa wa Nyamwezi na Narung’ombe, karibu na geti la kuingilia Shimoni Kariakoo. Jitihada za kuuzima unaendelea huku chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, kaa karibu na Michuzi Media kukujuza zaidi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Lakamata Watuhumiwa wakiwa na Nyara za Serikali, Noti Bandia, na Dawa za Kulevya OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI NA CLYDE &CO AFRIKA KUSHIRIKIANA KUWANOA MAWAKILI Jengo refu linawaka moto katika Mtaa wa Nyamwezi na Narung’ombe, karibu na geti la kuingilia Shimoni Kariakoo. Jitihada za kuuzima unaendelea huku chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, kaa karibu na Michuzi Media kukujuza zaidi SHARE Matukio Habari