25/09/2025 0 Comment 29 Views ABBAS MWINYI, KAKA WA RAIS WA ZANZIBAR DR. HUSSEIN MWINYI, AMEFARIKI DUNIA. by 4dmin Marehemu alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Fuoni kupitia CCM na aliwahi pia kuwa Mbunge wa jimbo hilo kabla. Taarifa zaidi tutakuletea kadri tutakavyokuwa tunazipata kupitia mwandishi wetu aliyepo Zanzibar RC SENYAMULE AHIMIZA WAFANYABIASHARA KUSHIRIKI KONGAMANO LA USHIRIKA Prof. Mganilwa Atoa Wito wa Ujenzi wa Hosteli Katika Vituo vya Mradi wa SEQUIP-AEP Marehemu alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Fuoni kupitia CCM na aliwahi pia kuwa Mbunge wa jimbo hilo kabla. Taarifa zaidi tutakuletea kadri tutakavyokuwa tunazipata kupitia mwandishi wetu aliyepo Zanzibar SHARE Matukio Habari