Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati alipowasili Karatu mkoani Arusha kuzindua Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitembelea Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai kabla ya kuzindua jengo hilo lililopo Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa mfano wa funguo kutoka kwa Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kuashiria kukabidhi Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai lililofadhiliwa na Serikali ya China, wakati wa uzinduzi wa jengo hilo uliyofanyika Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian akizindua Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai lililopo Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian katika picha ya pamoja na ujumbe wa Tanzania na China mara baada ya kuzindua Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai lililopo Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishuhudia utiaji Saini wa makabidhiano wa Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai wakati wa hafla iliyofanyika Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia mara baada ya kuzindua Jengo la Makumbusho ya Eneo la Hifadhi ya Urithi wa Kijiolojia la Ngorongoro – Lengai lililopo Karatu mkoani Arusha leo tarehe 16 Oktoba 2025.