.png)
HUU si mwezi wa kawaida, ni mwezi wa pesa, ushindi na burudani isiyo na kifani. Ukiwa na Meridianbet, kila siku ni nafasi ya kugeuza dau dogo kuwa faida kubwa. Na sasa, kampuni hii kinara wa ubashiri nchini kupitia mchezo wa Win&Go, kila mchezaji una nafasi ya kurudisha sehemu ya dau lako lililopotea kwa 10%.
Ndiyo, umesoma vizuri, kila mchezaji atakayepata hasara ya kuanzia TSh 1,000 kwa siku atarudishiwa 10% ya pesa alizoweka, hadi kufikia TSh 15,000 kwa siku. Hii inamaanisha unacheza bila hofu kwa sababu hata ukikosa, bado unarudishiwa sehemu ya dau lako
Ukicheza Win&Go basi una uhakika wa kushinda kila baada ya dakika tano. Kinachofanya Win&Go kuwa tofauti ni urahisi wake na uhakika wa ushindi. Unachagua mipira 6 hadi 10 kati ya 48, mfumo unafanya droo, na namba zako zikitokea, ushindi unakuja kwako bila kusubiri wala kucheleweshwa.
NB: Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz
Na kama hilo halitoshi, Meridianbet wameongeza ladha ya kipekee. Mchezo wa Win&Go una maeneo maalum yanayoitwa “Gift Positions” (kama namba 10 na 37) ambayo, namba zako zikiingia humo, unarejeshewa dau lako lote hata kama hukupata ushindi kamili. Na ikiwa namba zako mbili zitakuwa kwenye maeneo hayo, ushindi wako unakuwa mara nne zaidi. Pia, katika raundi maalum zinazojulikana kama “Golden Rounds”, unaweza kujizidishia ushindi mara dufu.
Meridianbet wamekuwa mstari wa mbele kila wakati katika kutoa bonasi, promosheni na ofa kali zinazomfurahisha kila mteja, kuanzia bonasi za ukaribisho, mizunguko ya bure, hadi zawadi za papo kwa papo kwa wanaotumia mitandao ya simu kuweka pesa kwenye akaunti zao.
Nafasi ndiyo hii sasa, jisajili leo na Meridianbet, cheza Win&Go, na ujionee mwenyewe jinsi ushindi unavyoweza kuwa wa haraka na halisi.