28/06/2025 0 Comment 90 Views WAZIRI PROF. MKENDA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA ROMBO by 4dmin WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli SERIKALI ITAENDELEA KUISIMAMIA SEKTA YA AFYA-MAJALIWA TARURA KUPITIA MRADI WA RISE IMEFANIKIWA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KILOMITA 2227 WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli SHARE Matukio Habari