22/09/2025 0 Comment 120 Views JENGO LAWAKA MOTO KARIAKOO by Muandishi wetu Jengo refu linawaka moto katika Mtaa wa Nyamwezi na Narung’ombe, karibu na geti la kuingilia Shimoni Kariakoo. Jitihada za kuuzima unaendelea huku chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, kaa karibu na Michuzi Media kukujuza zaidi Singida Black Stars Yafanya Mabadiliko Makuu: Ouma Kocha Mkuu, Najjar Meneja Mkuu DC MPOGOLO USAFI ZOEZI LA KUDUMU ILALA. Jengo refu linawaka moto katika Mtaa wa Nyamwezi na Narung’ombe, karibu na geti la kuingilia Shimoni Kariakoo. Jitihada za kuuzima unaendelea huku chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, kaa karibu na Michuzi Media kukujuza zaidi SHARE Matukio Habari