Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge wakati wa hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wafamasia duniani iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Famasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Wellu Kaali akielezea umuhimu wa wafamasia katika jamii wakati wa hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wafamasia duniani iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa taasisi hiyo.
Baadhi ya wafamasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza wakati wa hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wafamasia duniani iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akikata keki wakati akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge katika hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wafamasia duniani iliyofanyika jana katika taasisi hiyo (Picha na JKCI)