Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa(TAKUKURU)Crisipin Chalamila wa tatu kushoto,akikabidhi mashine maalum kwa ajili ya wodi ya watoto wachanga wanaozaliwa wakiwa na changamoto mbalimbali ikiwemo wanaozaliwa kabla ya wakati na ugonjwa wa manjano katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma,kushoto kwake Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt Majura Magafu,kulia Daktari wa kitengo cha watoto Dkt Regina Hyera na wa pili kulia Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Crispin Chalamila kushoto,akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitaliya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma(Homso) Dkt Majura Magafu baada ya kukabidhi mshine maalum kwa ajili ya kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati na wenye changamoto mbalimbali,katikati Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt Luis Chomboko.