LASSINE Kouma kapewa jezi namba 8 ambayo iliwahi kuvaliwa na mastaa wakubwa katika kikosi hicho akiwemo Haruna Niyonzima kiungo aliyekuwa anafanya watu wadhani mpira ni kazi rahisi. Kouma mwenye miaka 21 anazima dili la Yanga SC kuiwinda saini ya Feisal Salum wa Azam FC ambaye ana nguvu kubwa katika mguu wake wa kulia. Katika Ligi... Read More
Yanga Africa sio tu wanaongeza Technicall Quality wanaendelea Kupunguza pia Umri wa Midfield Yao Kuelekea Msimu Mpya..✍️ Out Khalid Aucho (32) In Moussa Balla Conte (21) ✅ Out Chama Clatous (34) In Allasine Kouma (21) ✅ Wanaendelea Kumuongezea Roman Folz (35) Vijana wenye Uchu Mkubwa wa Kufanikiwa Lakini ni rahisi Kuwa Manage. Wameongeza pia height Read More
Winga Offen Chikola, amesema kwake itakuwa rahisi kujitangaza na kupata soko la kucheza la kulipwa nje ya Tanzania baada ya kujiunga na Yanga. Chikola anasema hata alipopigiwa simu kwa mara ya kwanza na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said, kwake ilikuwa kama ndoto, kwani kwa uwezo wake alikuwa anatamani acheze kwenye klabu ambayo inaonekana zaidi Read More
“Naamini jina Langu litakumbukwa kama nahodha mwenye mafanikio katika klabu ya Simba kwa kufanikiwa kuipeleka Simba hatua ya Fainali. Najivunia hilo na naimani litaandikwa kwa wino mwekundu”.Mohamed Hussein – Tshabalala. Read More
Mchezo ni mmoja tu akichukua wako na yeye chukua wakwake "piga panapo uma"Mara baada ya Yangasc kufanya umafia kwa watani wao wa Jadi Simbasc kwa kumchoma Mohamed Hussen ambaye alikuwa tayari amemaliza mkataba wake na miamba hiyo ya sokaMnyama nae bila ya kuchelewa ameamua kujibu kwa kishindoSimbasc wameamua kuwekeza nguvu kwa mlinzi wa kati wa Yangasc Dickson Nickson Job ambaye na yeye amemaliza mkataba wake na mpaka sasa ajasaini mkataba mpyaTaarifa za ndani zinaeleza ya kwamba mwamba tayari ameweka dau lake mezani ambalo analitaka huku Yangasc wameonyesha kutokukubaliana na hilo dili na kuhitaji Dickson Nickson Job kushusha dau hiloHuku mnyama ndiyo anatajwa kumpa kiburi hicho na tayari wameweka dau nono kuliko la YangascHii inatafsiriwa kama kisasi ambacho kitauma kwa Yangasc baada ya wao kufanikisha dili la Zimbwe Jr Read More
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KATIKA kuadhimisha Siku ya Kuzuia Kuzama Maji Duniani, Shirika la EMEDO kwa kushirikiana na mradi wake wa Lake Victoria Drowning Prevention Project (LVDPP) limefanya kampeni ya utoaji elimu kwa wanafunzi katika Shule ya Msingi Ukwamani jijini Dar es Salaam, likisisitiza umuhimu wa elimu ya kujiokoa na hatua za tahadhari... Read More
TANZANIA imeendelea kuwa mfano wa kuigwa barani Afrika katika juhudi za kuboresha huduma za afya ya uzazi, hasa kwa wanawake, vijana na makundi yaliyo pembezoni mwa jamii. Hatua hii imetokana na jitihada shirikishi kati ya serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo, wakiwemo mashirika yasiyo ya kiserikali kama Marie Stopes Tanzania (MST). Marie Stopes Tanzania... Read More