0 Comment
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewataka wasomi nchini kutokuwa na Upande katika uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kupata nafasi ya kuieleza jamii ukweli bila kuwa na Unazi. Dkt. Ndumbaro ametoa kauli hiyo leo Aprili 25,2025 jijini Dodoma wakati akihitimisha maadhimisho ya Kilele cha Siku ya sheria 2025... Read More