0 Comment
Na WMJJWM – Mwanza Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini wametakiwa kutoa elimu kwa vikundi vya wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na wazee ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye fursa ya asilimia 30 ya ununuzi wa umma. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu Juni... Read More