0 Comment
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Lucy Kabyemera akizungumza na Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya Madalali wa Mabaraza wakati kamati hiyo ilipokwenda kujitambulisha kwake kwa niaba ya Waziri wa Ardhi Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Julai 2025. Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya... Read More