0 Comment
Wakuu wa Nchi nane za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC, wanatarajia kukutana mkoani Arusha Novemba 29 kwa ajili ya kushiriki Vikao vya kawaida pamoja na kuongoza maandalizi ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Read More