Idadi ya watoto kundikishwa kwenye magenge ya kihalifu nchini Haiti yatajwa kuongezeka, hii ni kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuwalinda watoto (UNICEF). Read More
Raia wa Namibia watapiga kura 27 Novemba 2024 katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa wenye ushindani mkali zaidi kwa chama tawala cha SWAPO, ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 34. Iwapo mgombea wa SWAPO Netumbo Nandi-Ndaitwah atashinda, atakuwa rais wa kwanza mwanamke nchini humo. Kupoteza kwa SWAPO kutamaanisha mpito wa kwanza wa mamlaka kwa chama kipya tangu Namibia... Read More
Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA, Anthony Kasore akizungumza wakati wa kuhitimisha zoezi la uchaguzi wa wanafunzi walioomba kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi katika vyuo vya VETA kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2025. Read More
Mjumbe wa Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Mhandisi James Jumbe Wiswa, amewaomba wananchi wa Kata ya Chamaguha kuchagua viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa serikali za mitaa Read More
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya makubaliano ya Mpango wa Maboresho ya Utoaji wa Huduma Bandari ya Zanzibar (Zanzibar Port Improvement) hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-11-2024. Read More
Wakuu wa Nchi nane za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC, wanatarajia kukutana mkoani Arusha Novemba 29 kwa ajili ya kushiriki Vikao vya kawaida pamoja na kuongoza maandalizi ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Read More
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana amesisitiza umuhimu wa kuwa na mikakati endelevu katika kukuza Sekta ya Utalii na Ukarimu. Read More