Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ,Said Mtanda (katikati),leo akizungumza na waandishi wa habari,kuhusiana na mapokezi ya Mwenge wa Uhuru mkoani humu. … Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kuupokea Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili Oktoba 6, mwaka huu, ambapo umekuwa ukikimbizwa nchini kwa miaka 60, utapokelewa... Read More