Halmashauri ya Jiji la Tanga imefungua dirisha la utoaji mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani Kwa kina mama, vijana na watu wenye ulemavu Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza katika jukwaa la biashara kati ya Tanzania na Marekani, kwenye Makao Makuu ya City Bank, jijini New York, Marekani Septemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa katika meza ya mazungumzo na baadhi ya wawekezaji kwenye Makao Makuu ya City Bank, jijini New York,... Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Bi. Fatma Abdallah Mussa (Kijeshi) Kepteni Mstaafu wa (JWTZ) alipofika nyumbani kwake Kidongochekundu Wilaya ya Mjini Unguja, kumtembelea na kumjulia hali yake leo 27-9-2024.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza... Read More
Bunge la Tunisia lilipanga kupiga kura kuhusu marekebisho makubwa ya sheria ya uchaguzi siku ya Ijumaa, siku tisa kabla ya uchaguzi wa rais ambao makundi ya upinzani yanahofia kwamba yataimarisha utawala wa kimabavu wa Rais Kais Saied. Mswada huo unaiondolea Mahakama ya Utawala mamlaka yake ya kusuluhisha mizozo ya uchaguzi. Kuna uwezekano wa kupita katika... Read More
Mbunge wa Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda, akiwa katika halmashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi. Read More