Na Rashid Mtagaluka Mwandishi wa habari na mchambuzi wa masuala ya siasa na kijamii nchini, Saleh Mohamed, amesema Tanzania ipo katika njia sahihi ya maendeleo na kwamba miaka mitano ijayo nchi itakuwa imepiga hatua kubwa zaidi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Septemba 4, 2025 kupitia mahojiano na Radio Free Afrika jijini... Read More