0 Comment
Hali ilikuwa tulivu wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipowasili eneo hilo pamoja na Waziri wa Ulinzi Dkt. Stegomena Tax na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega. Hata hivyo, dakika chache baada ya viongozi hao kuondoka, mvua kubwa ilinyesha na kuharibu kabisa njia. Read More