

Wezesha Mzawa Microfinance inakaribisha maombi kutoka kwa watu wenye hamasa na sifa stahiki kujiunga kama Maafisa Mikopo (Nafasi 10).
Sifa za Muombaji:
 Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika Fedha, Uchumi, Benki, Masoko au fani inayohusiana
 Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika Fedha, Uchumi, Benki, Masoko au fani inayohusiana Uzoefu wa angalau miaka 2 katika sekta ya kifedha (itapewa kipaumbele)
 Uzoefu wa angalau miaka 2 katika sekta ya kifedha (itapewa kipaumbele)
Jinsi ya Kutuma Maombi:
 Tuma maombi yako kupitia barua pepe: wezesha.microfinance@gmail.com
 Tuma maombi yako kupitia barua pepe: wezesha.microfinance@gmail.com Mwisho wa kutuma maombi: Tarehe 30 Julai 2025
 Mwisho wa kutuma maombi: Tarehe 30 Julai 2025










 
                         
                         
                         
                         
                        