Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) Dkt. Rukia Mwifunyi amepongeza MSD Tanga kwa kuvuka malengo ya mauzo, katika robo mwaka ya kwanza ya mwaka kwa asilimia 12. Read More
Kongamano la 42 la kisayansi la chama cha kitaaluma madaktari wa wanyama Tanzania, linatarajiwa kufungulia na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Arusha. Read More
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Doris Mollel Foundation katika jitihada za kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati, mpaka sasa tayari wamezifikia hospitali 85 nchi nzima katika kuchangia vifaa tiba kama mashine za kupumulia, vitanda n.k, vyenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.5. Ameyasema hayo jana Novemba 16, 2024 Dkt. Sylvia Rambo akimwaakilisha Mkurugenzi... Read More
Serikali inafanya kila iwezavyo uhakikisha kuwa wananchi wa Tanzania wanapata huduma bora za afya hata pale ambapo watakuwa hawana fedha za kulipia. Read More