Mrembo maarufu, mwenye vipaji lukuki na msanii mwenye ushawishi mkubwa katika jamii, Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameweka historia mpya katika tasnia ya burudani na maendeleo ya jamii baada ya kutangazwa Mshindi wa tuzo mbili kubwa kwenye Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) 2025. Tuzo hizo zilitolewa rasmi tarehe 25 Julai 2025 katika... Read More
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Nishati -Mafuta Dkt James Mataragio akitembelea kituo namba 5 cha Punguza kasi ya Mafuta na kambi namba 10 mradi wa EACOP Igunga …………… *Ni vya Kuongeza msukumo (pressure) wa mafuta PS-5 na kambi ya kuhifadhi mabomba namba 10 * Ujenzi wa kituo cha kupunguza kasi ya mafuta wafikia asilimia 41... Read More
Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mradi wa kuboresha elimu ya sekondari-SEQUIP imekamilisha ujenzi wa miundombinu mbalimbali katika shule mpya za Sekondari za wasichana Dar es salaam na Ruvuma. Pamoja na dhamira hiyo ya serikali ya kuboresha sekta ya elimu kwa kuwekeza na kufanya ujenzi... Read More
NA DENIS MLOWE,IRINGA Mkuu wa wilaya ya Kilolo, Astomini Kyando amepongeza maonyesho ya Ajira kwa Vijana ya 2025 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Swiss Contact kupitia mradi wa Skills For Employment Tanzania na kufadhiliwa na Ubalozi wa Uswisi kuwa ni mkombozi kwa vijana kutokana na maudhui yake. Akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Maonyesho hayo... Read More
Na Meleka Kulwa – Dodoma CHUO cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania kimeendesha mafunzo kwa waandishi wa habari nchini kuhusu uandishi sahihi wa taarifa za Mahakamani. Mafunzo hayo yamefanyika Julai 25, 2025 kwa njia ya mtandao, yakiwahusisha zaidi ya waandishi wa habari 150 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Mafunzo hayo... Read More
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa kalenda ya uchaguzi Mkuu 2025 katika hafla iliyofanyika Ofisi za Tume Njedengwa Jijini Dodoma Julai 26,2025. Pamoja nae ni Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Katibu wa Tume, Ndg. Kailima Ramadhani. Mwenyekiti wa Tume Huru... Read More
Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mradi wa kuboresha elimu ya sekondari-SEQUIP imekamilisha ujenzi wa miundombinu mbalimbali katika shule mpya za Sekondari za wasichana Dar es salaam na Ruvuma. Pamoja na dhamira hiyo ya serikali ya kuboresha sekta ya elimu kwa kuwekeza na kufanya... Read More
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(Kulia), akipokea Tuzo Maalamu kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma, Baba Askofu Dkt. Christian Ndossa, kwa kutambua juhudi zake katika kuwahudumia wananchi, wakati wa halfa... Read More
Babati Julai 25, 2025 Mahakama ya Wilaya ya Babati imemtia hatiani aliyekuwa Mhasibu Msaidizi wa Zahanati ya Endagwe, Bw. Mohamed Twalib Baya, kwa kosa la kughushi na kufanya ubadhirifu wa fedha kiasi cha shilingi milioni 8.015. Katika shauri la Uhujumu Uchumi Na. 15921/2025, lililosikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mhe. Victor Kimario, imethibitika kuwa mshtakiwa... Read More