0 Comment
*UKukamilika kwa daraja hilo kutanufaisha Kata tano Iramba – Singida Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la zege katika Mto Kinkungu lenye urefu wa mita 65.6 linalojengwa katika barabara ya Mtoa-Ndago Kata ya Shelui Wilayani Iramba kutanufaisha wananchi wa Kata tano Wilayani humo. Hayo yamebainika wakati wa ziara ya Kamati ya Ukaguzi ya TARURA ikihitimisha Ukaguzi... Read More