0 Comment
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Pemba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeahidi kuzifanyia kazi changamoto zote kuhusu miundombinu ya mawasiliano zilizobainishwa wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb), visiwani Pemba. Changamoto hizo ni pamoja na ukosefu wa mtandao wa intaneti wenye kasi na mawasiliano... Read More