Maelfu ya raia wa Hispania wamejitokeza kwa wingi katika miji mikuu kama Madrid, Barcelona, Malaga na San Sebastián kupinga kile wanachokiita mgogoro mkubwa wa makazi. Read More
Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa mapambano ya uhuru wa kiuchumi na ustawi wa kijamii katika nchi za Kusini mwa Afrika yanaendelea kwa kasi kubwa Read More
Wanajeshi waliobadili jinsia watatenganishwa na jeshi la Marekani, kulingana na memo ya Pentagon iliyowasilishwa mahakamani siku ya Jumatano. Read More
Serikali ya Somalia na mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yalionya kwamba watu milioni 4.4 wanaweza kufa njaa ifikapo Aprili 2025 kutokana na ukame, migogoro na kupanda kwa bei ya vyakula. Read More
Jeshi la Korea Kusini Alhamisi lilidai kuwa Korea Kaskazini imetuma zaidi ya wanajeshi 1,000 wa ziada nchini Urusi mwaka huu katika kuendelea kuunga mkono vita vya Moscow dhidi ya Ukraine. Read More