Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema umefika wakati kwa Serikali na taasisi na Mashirika kutambua, kuthamini na kutumia tafiti za wanasayansi wa ndani ya nchi. Read More
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya makubaliano ya Mpango wa Maboresho ya Utoaji wa Huduma Bandari ya Zanzibar (Zanzibar Port Improvement) hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-11-2024. Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 22, 2024 anamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la tano ya Maendeleo ya Biashara na Uchumi linalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hazina jijini Dodoma. Read More
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Doris Mollel Foundation katika jitihada za kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati, mpaka sasa tayari wamezifikia hospitali 85 nchi nzima katika kuchangia vifaa tiba kama mashine za kupumulia, vitanda n.k, vyenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.5. Ameyasema hayo jana Novemba 16, 2024 Dkt. Sylvia Rambo akimwaakilisha Mkurugenzi... Read More
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema ataunda timu maalumu ili kufuatilia hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika eneo la Soni Halmashauri ya wilaya ya Bumbuli. Read More
Serikali inafanya kila iwezavyo uhakikisha kuwa wananchi wa Tanzania wanapata huduma bora za afya hata pale ambapo watakuwa hawana fedha za kulipia. Read More