Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Watanzania kukemea vitendo vya ukatili ulioshamiri dhidi ya wanawake na watoto . Read More
Wanajeshi waliobadili jinsia watatenganishwa na jeshi la Marekani, kulingana na memo ya Pentagon iliyowasilishwa mahakamani siku ya Jumatano. Read More
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete azungumza na watumishi na wadau wa Mahakama ya Tanzania wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yaliyoanza leo Jijini Dodoma. Read More
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga azindua maadhimisho ya Wiki ya Sheria yaliyoanza Januari 25, yanatarajia kumalizika Februari 3, 2025 katika viwanja vya stendi ya zamani mjini Babati, Manyara. Read More
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye mikoa ya Ruvuma, Njombe, Songwe na Rukwa. Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.