Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia Bi. Victoria Swebe, Bryson Kamembe, Asajile Mwasalemba na Elia Mwalumbu wote wakazi wa Wilayani Kyela Mkoani Mbeya. Read More
Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba za viongozi ikiwemo ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, aliyoisoma kwenye mkutano huo jijini Kinshasa Novemba 15, 2025. Read More
ELAF kimewataka Watanzania kujiepusha na vitendo vya ukiukwaji wa sheria, ikiwemo kufanya maandamano yasiyo rasmi katika kipindi cha uchaguzi. Read More
Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa Bond ulioleta mzozo, siku chache kabla ya hatua hiyo kuanza kutumika. Mpango huo unaruhusu maafisa wa ubalozi wa Marekani kuomba dhamana inayorudishwa ya hadi dola 15,000 kutoka kwa watu wanaotaka visa, kama hakikisho la kurudi Read More
Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza kina mpango wa kuanzisha kituo cha umahiri cha utoaji wa mafunzo kwa wafungwa ili kuwapa maarifa, ujuzi na stadi za biashara Read More
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kigali leo tarehe 26 Julai 2025 Read More