Binti Theresia anaelezea hisia zake kwa upole na heshima, akisema tukio hilo lilikuwa kama ndoto iliyotimia — "siku ya baraka ya kipekee ambayo haitasahaulika." Read More
Pasaka ni kipindi cha msamaha, upendo na kusameheana. Ni fursa ya kila mmoja wetu kutafakari maisha yake na kufanya maamuzi ya kuishi kwa kuzingatia haki, maadili na mshikamano wa kweli Read More
Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina Faso, Mhe. Captain Ibrahim Traoré. Read More
Lissu alikuwa akihamasisha wananchi kuhusu haki yao ya kupiga kura na umuhimu wa ushiriki katika demokrasia. Wafuasi wake wanadai kuwa tuhuma za uhaini ni njama ya kuzima sauti ya upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Nathan Belete alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia historia ya Kiwanda cha kusafisha Mafuta cha Luanda Oil Refinery wakati akihitimisha ziara yake Jijini Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025. Read More
Jukwaa la Pili la Utalii wa Chakula Duniani kwa Kanda ya Afrika linaloandaliwa na Shirika la Utalii Duniani linatarajiwa kufanyika hapa nchini Aprili mwaka huu jijini Arusha. Read More