Waziri wa Maji, Nishati na Madini katika Serikali ya Zanzibar Shaib Hassan Kaduara ameipongeza Puma Energy Tanzania kusogeza huduma ya nishati ya mafuta kwa wananchi wa Zanzibar. Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mahafali ya 43 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye uwanja wa Kawawa katika Manispaa ya Kigoma, Desemba 5, 2024. Waziri Mkuu alimwakilisha Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango. Read More
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameongoza vikao vya bodi ya Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) leo Jijini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Read More
Idadi ya watoto kundikishwa kwenye magenge ya kihalifu nchini Haiti yatajwa kuongezeka, hii ni kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuwalinda watoto (UNICEF). Read More
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema ataunda timu maalumu ili kufuatilia hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika eneo la Soni Halmashauri ya wilaya ya Bumbuli. Read More
Juhudi za Serikali katika zoezi la uokoaji wa manusura wa ajali iliyotokea jana Novemba 16,2024 ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 4,Kariakoo Jijini Dar es Salaam Read More