Baadhi ya washiriki kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Tanzania wamekutana katika kikao cha kuimarisha ushirikiano katika masuala ya Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) Read More
Timu ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (Government Negotiation Team – GNT-LNG) ipo katika ziara nchini Indonesia. Read More
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) asaini Hati ya Mikataba Miwili (2) kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania Read More
Rais Samia amemtangaza Profesa Janabi kama muwakilishi aliyechaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika kunyang'anyiro cha kuwa Mkurugenzi WHO Afrika. Read More
Waziri wa Maji, Nishati na Madini katika Serikali ya Zanzibar Shaib Hassan Kaduara ameipongeza Puma Energy Tanzania kusogeza huduma ya nishati ya mafuta kwa wananchi wa Zanzibar. Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Chuo cha Zanzibar University Mhandisi Dr. Abdulqadir Othman alipowasili katika viwanja vya Chuo hicho Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, kwa ajili ya kuhudhuria Mahafali ya 22 yaliyofanyika leo 5-12-2024 na (kushoto kwake) Waziri... Read More