0 Comment
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano shirika la Maendeleo ya Petroli na gesi TPDC Maria Mselemu amesema kufuatia utendaji kazi la shirika hilo umewafanya kuibuka kidedea kwenye maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa maarufu kama sabasaba. Akizungumza mara baada ya kupewa tuzo hiyo katika maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa amesema wamekuwa wakifanya vizuri... Read More