0 Comment
Na John Bukuku, Kibaha Kampuni ya Xinghao Group Company Ltd kupitia chapa yake ya Lulu Cement, imekabidhi msaada wa madawati 200 na shilingi milioni 3 kwa ajili ya ununuzi wa fenicha za walimu katika Shule ya Msingi Misugusugu, iliyopo Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani. Msaada huo una thamani ya shilingi milioni 36, ukilenga kuboresha mazingira... Read More