Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza kina mpango wa kuanzisha kituo cha umahiri cha utoaji wa mafunzo kwa wafungwa ili kuwapa maarifa, ujuzi na stadi za biashara Read More
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kigali leo tarehe 26 Julai 2025 Read More
Vipindi vya mashindano ya Miss Universe Tanzania 2025 vinatarajia kuanza kuonekana kuanzia leo Julai 25 mwaka huu katika king’amuzi cha Startimes Tanzania kupitia Chaneli yake ya ST Swahili lengo likiwa kuwapa nafasi Watanzania kuona matukio mbalimbali katika Miss Universe nchini. Read More
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum kwa njia ya mtandao kesho, Julai 26, 2025, ambapo ajenda kuu itakuwa kufanya marekebisho madogo ya Katiba ya chama hicho. Read More
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission – JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umeanza rasmi leo tarehe 24 Julai 2025 jijini Kigali, na unatarajiwa kuendelea hadi tarehe 26 Julai Read More