Maelfu ya raia wa Hispania wamejitokeza kwa wingi katika miji mikuu kama Madrid, Barcelona, Malaga na San Sebastián kupinga kile wanachokiita mgogoro mkubwa wa makazi. Read More
Mama huyo anasema alifanya kazi ya kusambaza chakula kwa mafundi waliokuwa wakijenga zahanati ya kijiji lakini hajalipwa malipo yake hadi sasa. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Saudi Arabia kuhusu Nishati Safi ya Kupikia. Read More
Serikali za Tanzania na Misri kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa kuimarisha sekta ya usafirishaji, nishati, ujenzi wa miundombinu, uchukuzi, biashara na uwekezaji, kilimo, mifugo na uvuvi. Read More
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi (VETA) kupitia chuo chake cha VETA Arusha, imezindua Mradi wa kuzalisha Gesi Asilia kwa kutumia Samadi (Biogas), kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na watumishi. Read More
Benki ya Absa Tanzania imezindua bidhaa mpya, Akaunti ya Akiba ya Kikundi, inayolenga kuwawezesha watu wanaokusudia kufikia malengo ya kifedha ya pamoja kuweza kuweka akiba na kuwekeza. Read More
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, amewasili nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, utakaofanyika jijini Dar es Salaam. Read More
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akigonga kengele kuashiria kuorodhoreshwa rasmi kwa Hati Fungani ya Benki ya Azania ijulikanayo kama Bondi Yangu, katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Read More