Steven Waiton Mengele, maarufu kama Steve Nyerere, ni miongoni mwa wadau muhimu wa maendeleo nchini kupitia mchango wake mkubwa katika sanaa za maigizo na uchekeshaji kwa miaka mingi. Read More
NAIROBI: KAMPUNI ya huduma za matukio na teknolojia ya sauti, Xpose, imewekeza kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya Shilingi milioni 19.3 kununua ‘mixer’ ya kisasa ya sauti aina ya DiGiCo Quantum 338, ikiwa ni hatua ya kuboresha viwango vya utoaji wa sauti katika matamasha na burudani ya moja kwa moja yatakayofanyika nchini Kenya. Kifaa hicho,... Read More
Vipindi vya mashindano ya Miss Universe Tanzania 2025 vinatarajia kuanza kuonekana kuanzia leo Julai 25 mwaka huu katika king’amuzi cha Startimes Tanzania kupitia Chaneli yake ya ST Swahili lengo likiwa kuwapa nafasi Watanzania kuona matukio mbalimbali katika Miss Universe nchini. Read More
Msanii maarufu wa sanaa ya uchekeshaji nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu kama MC Pilipili, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukumbwa na maswali mazito kuhusu hali ya ndoa yake. Read More
Familia ya Malcolm X yashtaki vyombo vya sheria vya shirikisho na Idara ya Polisi ya New York (NYPD) kupanga njama ya kumuua kiongozi huyo wa haki za kiraia. Read More