Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza kina mpango wa kuanzisha kituo cha umahiri cha utoaji wa mafunzo kwa wafungwa ili kuwapa maarifa, ujuzi na stadi za biashara Read More
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission – JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umeanza rasmi leo tarehe 24 Julai 2025 jijini Kigali, na unatarajiwa kuendelea hadi tarehe 26 Julai Read More
Wananchi Mvomero, mkoani Morogoro wameanza jitihada za kurejesha uoto wa asili katika Milima ya Nguru iliyoharibiwa kutokana na shughuli za kibinadamu. Read More
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji) amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ametumia zaidi ya Shilingi Bilioni 80 (Tsh. 87 B) kwenye masuala mbalimbali kwa ajili ya Klabu hiyo. Read More
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akisisitiza nafasi muhimu ya vyombo vya habari katika kudumisha amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Read More
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesaini makubaliano na Chuo Kikuu cha Fedha na Uchumi cha Kusini Magharibi mwa China (SWUFE) kuimarisha ubadilishanaji wa ujuzi, utafiti wa pamoja, na fursa za mafunzo kwa wanafunzi na wafanyakazi wa pande zote mbili. Read More