Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe Aliyehudumu katika nafasi hiyo kwa takribani miaka 20 sasa leo Disemba 21, 2024 anatoa msimamo wake kuhusu yeye kuendelea kugombea kiti hicho kwa muhula wa tano au kutokuendelea. Mwenyekiti Mbowe katikati ya juma alipokea ugeni kutoka kwa wananchama, wakereketwa na baadhi ya viongozi... Read More
Washindi wa tuzo hizo katika picha ya pamoja na baadhi ya wageni waalikwa katika picha ya pamoja Baadhi ya washindi wakionyesha tuzo zao wakati wa hafla hiyo Meneja Mawasiliano wa Barrick nchini,Georgia Mutagahywa, akiambatana na wadau wengine kumkabidhi tuzo kiongozi wa kimila wa Kimasai kutoka Ngorongoro Lengumo Permiria ambaye pia aliibuka kidedea. 5.Mwakilishi wa Taifa... Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Chuo cha Zanzibar University Mhandisi Dr. Abdulqadir Othman alipowasili katika viwanja vya Chuo hicho Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, kwa ajili ya kuhudhuria Mahafali ya 22 yaliyofanyika leo 5-12-2024 na (kushoto kwake) Waziri... Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mahafali ya 43 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye uwanja wa Kawawa katika Manispaa ya Kigoma, Desemba 5, 2024. Waziri Mkuu alimwakilisha Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango. Read More