0 Comment
Na Happy Lazaro,Arusha . Mkuu wa wilaya ya Arusha Joseph Mkude amewataka madiwani wa halmashauri ya jiji la Arusha kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa bima ya afya kwa wote(NHIF) ili kuwa na uhakika wa matibabu. Ameyasema hayo leo wakati akizundua mpango wa bima ya afya kwa wote iliyofanyika katika ofisi za mkuu wa wilaya Read More









