0 Comment
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri ameongoza kikao cha Katibu Wakuu kuhusu mjadala wa Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Songwe Chini pamoja na Mtambo wa kuzalisha nishati ya Umeme. Kikao kimewakutanisha Katibu Wakuu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati pamoja na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya... Read More