0 Comment
Na John Bukuku – Dar es Salaam IGP Mstaafu, Balozi Ernest Mangu, ameelezea kuridhishwa na maendeleo ya Chuo cha Bandari wakati akihutubia katika mahafali ya 24 yaliyofanyika Novemba 21, 2025, katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam. Amesema kuwa hafla hiyo imempa nafasi ya kushuhudia hatua mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya chuo, ambacho Read More









