0 Comment
Na.Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Positive Cooker imeunga mkono juhudi za Serikali za kuondoa matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa kuendesha kampeni ya elimu kwa wananchi wa Dodoma juu ya matumizi ya majiko janja yanayotumia umeme katika kupikia. Akizungumza katika kampeni hiyo leo Septemba 2,2025 jijini Dodoma Meneja wa Positive Cooker Kanda ya Kati,... Read More