0 Comment
OR-TAMISEMI Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha zinapima maeneo yaliyojengwa vituo vya kutolea huduma za afya ili kupata hati miliki za maeneo hayo. Dkt. Mfaume ameyasema hayo alipokuwa katika ziara yake ya ukaguzi wa huduma za afya,... Read More