0 Comment
Naibu Katibu Mkuu (Huduma za Hazina), Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania, Pro. Wlliam Pallangyo na Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijinini Pro. Hozen Mayaya, wakimsikiliza Afisa Usimamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. George Killo, akitoa ufafanuzi... Read More