0 Comment
Katikati ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere wakati akizungumza na baadhi ya viongozi alioambatana nao kwenye ukaguzi wa miradi ya maendeleo ………………….. Na Neema Mtuka Sumbawanga, Rukwa: Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Sumbawanga na kusisitiza umuhimu wa... Read More