0 Comment
Mwandishi Wetu, Dodoma MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametaka jengo la Shule Jumuishi Bahi kukamilishwa kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa kama wadhamini wa ujenzi huo, Benki ya NMB walivyokusudia. Shule hiyo ya Sekondari Jumuishi inajengwa na Mkandarasi SUMA JKT kwa udhamini wa Benki ya NMB ambao wametoa takribani Sh 4.5 bilioni Senyamule... Read More