Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameongoza vikao vya bodi ya Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) leo Jijini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipofungua Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki kwenye ukumbi wa hoteli ya GranMelia jijini Arusha, Desemba 3, 2024. Read More
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema umefika wakati kwa Serikali na taasisi na Mashirika kutambua, kuthamini na kutumia tafiti za wanasayansi wa ndani ya nchi. Read More
Kongamano la 42 la kisayansi la chama cha kitaaluma madaktari wa wanyama Tanzania, linatarajiwa kufungulia na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Arusha. Read More
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaongoza waombolezaji kutoa heshima na kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa WHO, Kanda ya Afrika, Mhe. Faustine Engelbert Ndugulile, leo Jumatatu, tarehe 2 Desemba 2024, katika Viwanja vya Karimjee, Dar Es Salaam. Read More
Raia wa Namibia watapiga kura 27 Novemba 2024 katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa wenye ushindani mkali zaidi kwa chama tawala cha SWAPO, ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 34. Iwapo mgombea wa SWAPO Netumbo Nandi-Ndaitwah atashinda, atakuwa rais wa kwanza mwanamke nchini humo. Kupoteza kwa SWAPO kutamaanisha mpito wa kwanza wa mamlaka kwa chama kipya tangu Namibia... Read More