Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa mapambano ya uhuru wa kiuchumi na ustawi wa kijamii katika nchi za Kusini mwa Afrika yanaendelea kwa kasi kubwa Read More
Wanajeshi waliobadili jinsia watatenganishwa na jeshi la Marekani, kulingana na memo ya Pentagon iliyowasilishwa mahakamani siku ya Jumatano. Read More
Serikali ya Somalia na mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yalionya kwamba watu milioni 4.4 wanaweza kufa njaa ifikapo Aprili 2025 kutokana na ukame, migogoro na kupanda kwa bei ya vyakula. Read More
Jeshi la Korea Kusini Alhamisi lilidai kuwa Korea Kaskazini imetuma zaidi ya wanajeshi 1,000 wa ziada nchini Urusi mwaka huu katika kuendelea kuunga mkono vita vya Moscow dhidi ya Ukraine. Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Nujoma. Read More
Kundi la Hamas limekabidhi miili ya mateka wanne waliouawa na Israel katika shambulio la bomu huko Gaza kwa shirika la Msalaba Mwekundu, kwa mujibu wa TRT World. Read More
Serikali za Tanzania na Misri kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa kuimarisha sekta ya usafirishaji, nishati, ujenzi wa miundombinu, uchukuzi, biashara na uwekezaji, kilimo, mifugo na uvuvi. Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award kutoka kwa Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates, Dkt. Anita Zaidi Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Februari, 2025. Read More