Mradi wa Daraja la Magufuli – linalojengwa katika Kanda ya Ziwa – ni mfano hai wa miradi inayotekelezwa kwa mafanikio makubwa chini ya uongozi wa Rais Samia. Read More
Wakazi waliokuwa Magomeni Kota wamepinga mkataba wa Mpangaji mununuzi ulioandaliwa kwa upande wa Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi baada ya kubaini kiwepo kwa mapungufu ya kisheria na kiutekelezaji na kutaka majadiliano kwa pande mbili. Read More
Takribani kiasi cha tani millioni 7 za taka ngumu huzalishwa hapa nchini kwa mwaka ambapo wastani wa asilimia 45 hadi 50 tu hukusanywa na kutupwa dampo. Read More
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Taasisi ya Colombo Plan Drug Advisory Programme (CP-DAP) imehitimisha mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo Asasi 25 za Kiraia zinazopambana na dawa za kulevya.
Read More
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) linaendesha program ya kuongeza ujuzi katika baadhi ya nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania, Rwanda, Uganda, Kenya, Eritri na Malawi. Read More
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuwalipa fidia wananchi waliopitiwa na Miradi ya kufua Umeme ya Ruhudji na Rumakali. Read More
Wachimbaji wadogo wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi kwao. Read More
Wanawake na Wasichana wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) wamezindua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Wanawake Duniani 2025. Read More