0 Comment
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Taasisi ya Colombo Plan Drug Advisory Programme (CP-DAP) imehitimisha mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo Asasi 25 za Kiraia zinazopambana na dawa za kulevya.
Read More