Ni kweli Askari Polisi walifika eneo hilo kumkamata mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mweta, ambaye awali alikamatwa na baada ya kudhaminiwa aliruka dhamana. Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipofungua Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki kwenye ukumbi wa hoteli ya GranMelia jijini Arusha, Desemba 3, 2024. Read More
Familia ya Malcolm X yashtaki vyombo vya sheria vya shirikisho na Idara ya Polisi ya New York (NYPD) kupanga njama ya kumuua kiongozi huyo wa haki za kiraia. Read More
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) a Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) wameendesha mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa TEHAMA wa taasisi hiyo. Read More
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. Baraka Leonard amewataka Watumishi wa Ofisi ya Bunge kuendelea kufanya kazi kwa weledi na kwa kujituma huku wakizingatia kanuni na sheria za kazi. Read More