Idadi ya watoto kundikishwa kwenye magenge ya kihalifu nchini Haiti yatajwa kuongezeka, hii ni kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuwalinda watoto (UNICEF). Read More
Familia ya Malcolm X yashtaki vyombo vya sheria vya shirikisho na Idara ya Polisi ya New York (NYPD) kupanga njama ya kumuua kiongozi huyo wa haki za kiraia. Read More
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva Ikulu, Jijini Dar es Salaam Read More
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Antoine Tshisekedi, aliwasili Entebbe, Uganda, Jumatano kwa ziara ya kikazi ya saa chache na mwenzake, Rais Yoweri Museveni. Read More
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) a Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) wameendesha mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa TEHAMA wa taasisi hiyo. Read More
Wananchi wapatao 56,000 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro wanatarajiwa kufikiwa na Elimu ya Mpiga Kura kupitia juhudi za asasi za Haki Mwananchi na Mtanzania Foundation Read More
Geita kumpokea rasmi mkandarasi, kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa humo. Read More