Waziri wa Kilimo,Mhe.Hussein Bashe amewataka wakulima wa Korosho kusini kuhakikisha shughuli zote zinazohusiana na korosho zinafanyika na kupatikana kusini ili kuondokana na umasikini. Read More
Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina Faso, Mhe. Captain Ibrahim Traoré. Read More
Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imetangaza kuwa Mkutano wa Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar kwa mwaka 2025 utafanyika katika Kisiwa cha Pemba kuanzia Mei 7 hadi 10. Read More
Hali ilikuwa tulivu wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipowasili eneo hilo pamoja na Waziri wa Ulinzi Dkt. Stegomena Tax na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega. Hata hivyo, dakika chache baada ya viongozi hao kuondoka, mvua kubwa ilinyesha na kuharibu kabisa njia. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Nathan Belete alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia historia ya Kiwanda cha kusafisha Mafuta cha Luanda Oil Refinery wakati akihitimisha ziara yake Jijini Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025. Read More