0 Comment
Mbunge wa Tandahimba (CUF),Mhe. Katani Ahmed Katani,amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama Mbunge wa Pangani, Juma Aweso atarudi tena bungeni katika uchaguzi ujao basi amrejeshe katika nafasi yake ya uwaziri wa Maji ili aweze kukamilisha yale mambo mazuri yaliyobaki. Read More