Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) alisema kuwa karibu kila mtu katika Ukanda wa Gaza ana njaa, akiitaja hali hii kuwa “ukatili.” Picha: CNN Read More
*Asema majiko yanayotoa nishati safi ya kupikia ni salama *Ataja Wanawake kuathirika zaidi na matumizi ya nishati zisizo safi Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mwanaidi Khamis ametoa rai kwa jamii kuondokana na matumizi ya nishati zisizo safi ili kulinda afya zao. Mhe. Khamis ameyasema hayo Jijini Dodoma wakati... Read More
RAIS Samia Suluhu Hassan amewapongeza UVCCM kwa kufanya matembezi toka Butiama hadi jijini Mwanza kuadhimisha miaka 25 ya kumbukizi ya Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere Read More
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO ya Tanzania, Prof. Hamisi Malebo amesema kuwa Tanzania haina ardhi ya Mababu ,Ardhi ya Makabila pamoja na ardhi ya kimila. Read More