Wazazi wafungua mashtaka dhidi ya kampuni ya teknolojia ya OpenAI wakidai kuwa huduma ya Akili Mnemba ya ChatGPT imesababisha kifo cha mtoto wao. Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia historia ya Kiwanda cha kusafisha Mafuta cha Luanda Oil Refinery wakati akihitimisha ziara yake Jijini Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025. Read More
Wanawake wa Kata ya Nyarugusu wamepumua kwa afueni baada ya Kituo chao cha Afya kupatiwa mashine ya kisasa ya ultrasound, hatua iliyowarahisishia huduma za afya ya uzazi ambazo hapo awali walilazimika kuzifuata mbali mjini Geita. Read More