Mhe. CP. Hamad Khamis Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji amekutana na Mhe. Chandapiwa Nteta, Balozi wa Jamhuri ya Botswana nchini Msumbiji kwa ajili ya kujitambulisha Julai 24, 2025 jijini Maputo. Read More
Wananchi Mvomero, mkoani Morogoro wameanza jitihada za kurejesha uoto wa asili katika Milima ya Nguru iliyoharibiwa kutokana na shughuli za kibinadamu. Read More
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji) amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ametumia zaidi ya Shilingi Bilioni 80 (Tsh. 87 B) kwenye masuala mbalimbali kwa ajili ya Klabu hiyo. Read More
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akisisitiza nafasi muhimu ya vyombo vya habari katika kudumisha amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Read More
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesaini makubaliano na Chuo Kikuu cha Fedha na Uchumi cha Kusini Magharibi mwa China (SWUFE) kuimarisha ubadilishanaji wa ujuzi, utafiti wa pamoja, na fursa za mafunzo kwa wanafunzi na wafanyakazi wa pande zote mbili. Read More
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Malemi, amepongeza huduma zinazotolewa kwa wanachama na wananchi wanaotembelea banda la Mfuko katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) Read More
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Samwel Shelukindo, alikutana na kufanya mazungumzo na Bw. Andrew Lentz, Kaimu Balozi wa Ubalozi wa Marekani hapa nchini. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe, Mohamed Mchengerwa ameupongeza uongozi wa Shule ya Sekondari ya Kibaha kwa kuendelea kuwa na matokeo ya ufaulu mzuri huku akiwataka kutoshuka. Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa atembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba yanayoendela katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Kilwa Road. Read More