Kupanda cheo ni kuongezewa majukumu ya kiuongozi katika usimamizi wa shughuli za uhifadhi, utalii, ulinzi, maendeleo ya jamii na urithi wa asili na utamaduni uliopo hifadhi ya Ngorongoro. Read More
Lissu alikuwa akihamasisha wananchi kuhusu haki yao ya kupiga kura na umuhimu wa ushiriki katika demokrasia. Wafuasi wake wanadai kuwa tuhuma za uhaini ni njama ya kuzima sauti ya upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Read More
Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbogwe, Pius Lukaga, amewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya rushwa wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi. Read More